forked from WA-Catalog/sw_tn
353 B
353 B
Maelezo kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayao watu kutenda.
Mtazitunza amari zangu na kuzifuta
Yale maneno "tunza" na "fuata" kimsingi humaanisha kitu kimoja. Yametumika pamoja ili kusisitiza kwamba ni lazima watu wamtii Mungu.
hakika mtu huyo atauawa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"Yapasa kuua hakika"