forked from WA-Catalog/sw_tn
335 B
335 B
Mbuzi wa azazeli
"yule mbuzi anayepelekwa mbali." iAroni alitakiwa kuwa na mtu wa kumwacha huru huyo mbuzi aende nyikani.
kura imemwangukia
"yule ambaye kura imeteuliwa"
Lakini mbuzi...lazima aletwe mbele za Yahweh
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Aroni atamleta huyo mbuuzi...mbele za Yahweh akiwa hai.