forked from WA-Catalog/sw_tn
532 B
532 B
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni wanyama ambao watu walitakiwa kuwaona najisi
hawa ndiyo walio najisi kwen
Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kuwa hawafai kuguswa au kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile
kicheche
mnyama mdogo mwenye manyoya ya kahawia anayekula ndege na wanyama wadogo.
mijusi mikubwa, guruguru, 30kenge, mijusi ya ukutani...na kinyonga
Hizi ni aina mbali mabali za wanyama wenye damu baridi walio na miguu minne.
goromoe
"Mjusi wa ni"