sw_tn/lev/05/14.md

1.2 KiB

dhambi dhidi ya vitu ambavyo ni vya Yahweh

Hii inamaanisha kwamba mtu aliyefanya dhambi kwa kutotoa kwa Yahweh kile alichomwamru Yahweh kutoa. : "Natenda dhambi kwa kushindwa kutoa kwa Yahweh kilicho cha Yahweh"

thamani yake halisi itatathminiwa kulingana na shekeli za fedha

Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji: "Naye yapasa kuamua ni shekeli ngapi huyo kondoo dume anastahili"

shekeli

Sheli ni kama gramu 11 hivi katika uzito.

shekeli za patakatifu

Labda huenda hii humaanisha kulikuwa angalau na njia mbili za kupima shekeli. Hii humaanisha namna kuhani wa patakatifu alivyopima shekeli. : ""kipimo rasimi katika hema takatifu"

patakatifu

Hili ni jina lingine la hema takatifu

ataongeza moja ya tano

ya tano** - Hii inamaanisha mtu huyo alilazimika kulipa ziada ya moja ya tano ya thamani ya alichodaiwa na Yahweh.

moja ya tano

ya tano** - Hii ni sehemu moja kutokana na sehemu tano zilizosawa.

Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake

Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. "kuhani atapatanisha kwa ajili yake"

naye mtu huyo atakuwa amesamehewa

Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "yahweh atamsamehe mtu huyo"