forked from WA-Catalog/sw_tn
638 B
638 B
Naye atayakata
"Naye'" hapa humaanisha yule mtu anayetoa sadaka
yanvyokatwa hayo mafuta
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "ni kama tu vile mtu akatavyo hayo mafuta"
ataiteketeza
"atayachoma mafuta"
ili kuleta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
Tazama maelezo yaliyotolewa kwenye sura 1:7 ili uone maneno hayo yalivyofafanuliwa
Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtu hyo
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi za mtu huyo"
naye atakuwa amesamehewa.
Hili laweza kutamkwa katika mtingo tendaji. : "Yahweh atazisamehe dhambi za mtu huyo"