forked from WA-Catalog/sw_tn
311 B
311 B
Naye atateketeza
"Kuhani atateketeza
Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtawala
Ile nomino dhahania "upatanisho"yaweza kutaamkwa kama kitenzi. : "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya mtawala"
naye mtawala kulingana
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atasamehe dhambi za mtawala"