forked from WA-Catalog/sw_tn
451 B
451 B
bila kukusudia
"bila kujua"
ameamru yasitendwe
Hili laweza kuutamkwa katika mtindo tendaji. : "alichowaamru wasikitende"
hiyo dhambi waliyoitenda ikawa imejulikana
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "wanapotambua kwamba wametenda dhambi"
wataweka mikono yao juu ya kichwa
Tazama maelezo katika sura 1:3 uone lilivyofasiriwa
huyo fahali atachinjwa
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Nao watamuua huyo fahali"