forked from WA-Catalog/sw_tn
567 B
567 B
Matumbo
Hili ni tumbo na utumbo
ya kiununi
Hii ni sehemu ya mwili wa mnyama kwenye maeneo ya ndani ya uti wa mgongo kati ya mbavu na mfupa wa nyonga.
kitambi cha ini
Hii ni sehemu ya ini iliyojikunja au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa ni sehemu ya ini iliyobora kabisa kwa kula. : "Sehemu ya ini iliyobora"
Hii italeta harufu ya kupendeza mbele za Yahweh
Tazama ufafanuzi uliotolewa katika sura ya 1:7
itakuwa sadaka itolewayo Kwake kwa moto.
Hili laweza kutafsiriwa katika mtindo tendaji. : "nayo itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh"