forked from WA-Catalog/sw_tn
595 B
595 B
sentensi unganishi
Yuda anawambia waamini jinsi ya kuishi na namna ya kuwa tendea wengine.
kama mjijengavyo wenyewe
Kama muwezavyo kukua imara na afya njema, ili kwamba muweze kuimarika na kukua fahamu zenu na roho katika maarifa ya Mungu
msubiri
"tunatazamia kwa shauku"
jitunzeni katika upendo wa Mungu
Kuweza ;kupokea upendo wa Mungu ya zungumziwa kama vile mtu amejihifadhi sehemu.
rehema za Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele
Hapa "rehema" ya wakilisha Yesu Kristo mwenyewe, ambaye atawaonyesha rehema zake kwa waaamini kwa kuwafanya wa ishi milele