forked from WA-Catalog/sw_tn
42 lines
965 B
Markdown
42 lines
965 B
Markdown
# maelezo ya jumla
|
|
|
|
Balaamu ni Nabii aliye kataa kulahani Israel kwa ajiili ya adui lakini akamfundisha huyo adui kuwafanya watu waoe wasio amini na wawe waabudu sanamu.
|
|
|
|
# maelezo ya jumla
|
|
|
|
Kora alikuwa ni muIsraeli aliye asi uongozi wa Musa na ukuhani wa Aruni.
|
|
|
|
# bishana kuhusu mwili
|
|
|
|
walibishana juu ya nani atachukua milki ya mwili.
|
|
"bishana kuhusu nani angechukua milki ya mwili."
|
|
|
|
# Mikaeli...hakuthubutu kuleta kinyume naye
|
|
|
|
"Mikaeli...alijizuia mwenyewe kumkemea ibilisi
|
|
|
|
# hukumu au kuleta maneno ya matusi
|
|
|
|
"upinzani wa nguvu au maneno yasiyo na heshima"
|
|
|
|
# Lakini watu hawa
|
|
|
|
"watu hawa" ni watu waovu waliotajwa mapema.
|
|
|
|
# tusi mambo yote ambayo hawayaelewi
|
|
|
|
"kuongea pasipo heshima kinyume na chochote ambacho hawakijui maana yake"
|
|
|
|
# njia ya Kaini
|
|
|
|
Kaini alimuua kaka yake Abeli.
|
|
|
|
# kosa la Balaam kwa ajili ya mshahara
|
|
|
|
Balaamu alijaribu kulaani Israeli kwa ajili ya pesa.
|
|
|
|
# uasi wa Kora
|
|
|
|
Kora aliasi dhidi ya uongozi wa Musa na ukuhani wa Aron.
|
|
|