sw_tn/jos/23/16.md

534 B

Atafanya hivi

Hii inarejelea juu ya hukumu iliyotishiwa katika mstari uliotangulia.

kuiabudu miungu mingine na kuiinamia

Virai hivi viwili kimsingi vinazungumzia juu ya jambo moja lile lile. Kirai cha pili kinaelezea jinsi watu "wanavyoabudu miungu mingine"

ndipo hasira ya Yahweh itawaka kinyume nanyi

"kuwaka"ni lugha ya picha kuonesha mwanzo wa hasira ya Yahweh, kama moto, inawashwa au inaanzishwa au inaanza kuwaka kiurahisi kama kwenye majani makavu au vijiti vidogo vidogo. "Yahweh ataanza kuwa na hasira nanyi"