forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
530 B
Markdown
25 lines
530 B
Markdown
# msikengeuke upande wa kulia wala upande wa kushoto
|
|
|
|
Kitendo cha kutotiii maagizo ya sheria za Musa kinasemwa kana kwamba ni kugeuka upande wa kulia au upande wa kushoto mbali na njia sahihi.
|
|
|
|
# msichanganyikane
|
|
|
|
Maana zinazokubalika 1)kuwa na urafiki wa karibu nao 2) kuoana nao
|
|
|
|
# msiyataje
|
|
|
|
kuyasema
|
|
|
|
# miungu yao
|
|
|
|
Hii inarejelea juu ya miungu ya mataifa yaliyosalia.
|
|
|
|
# kumshika sana Yahweh
|
|
|
|
"kumshikilia Yahweh kwa nguvu" Kumwamini Yahweh kunasemwa kana kwamba ni kumshikilia kwa nguvu.
|
|
|
|
# hadi leo
|
|
|
|
"mpaka muda wa sasa"
|
|
|