forked from WA-Catalog/sw_tn
476 B
476 B
waliposikia maneno
Hapa "maneno"yanarejelea juu ya ujumbe ambao uliundwa kwa maneno. "walisikia ujumbe"
yalikuwa ni mazuri machoni pao
Hapa maneno "machoni pao" inamaanisha "katika mawazo yao"
hamjatenda uvunjaji wa imani kinyume naye
"kuvunja agano lako kwake"
mmewaokoa watu wa Israeli kutoka katika mkono wa Yahweh.
Mahali hapa kirai "mkono wa Yahweh" inarejelea juu ya hukumu. Kitendo cha kulinda watu kinasemwa kama ni kuwaokoa kutoka katika mkono wake.