forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
527 B
Markdown
17 lines
527 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Makabila ya Rubeni, Gadi, na nusu ya Manase yanaendelea kutoa majibu yao
|
|
|
|
# Kwa kuwa Yahweh ameifanya Yordani....hamna kitu chochote naYahweh
|
|
|
|
Huu ni mwendelezo wa mashitaka ya kinadharia ambayo makabila yale matatu yanadhani kuwa watoto wa makabila mengine wangeweza kufanya kwa wakati ujao.
|
|
|
|
# Yordani
|
|
|
|
Huu ni ufupisho wa Mto Yordani
|
|
|
|
# watoto wenu wanaweza kuwafanya watoto wetu waacha kumwabudu Yahweh.
|
|
|
|
Makabila haya matatu yalijenga madhabahu ili kuepuka hali inayodhania isije ikatokea wakati ujao.
|
|
|