forked from WA-Catalog/sw_tn
569 B
569 B
aliwaapia
"alitoa kiapo"
Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Walimshinda kila mmoja miongoni mwa adui zao."
Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
hapa kirai "mikononi mwao" ina maana "ndani ya mamlaka yao"
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia
sentensi imeelezwa kwa kukanusha ili kutia nguvu maelezo yake. "Kila ahadi njema ambayo Yahweh alikuwa ameisema kwa nyumba ya Israeli ilikuwa kweli."