forked from WA-Catalog/sw_tn
539 B
539 B
Arba alikuwa ni baba wa Anaki
Haya ni maelezo ya nyuma juu ya jina la mtu aliyeuanzisha mji wa Kiriathi Arba.
Anaki
Hili ni jina la mwanaume
Nchi ya milima
Hii ni sehemu ya nchi ambayo kiuasilia imeinuka, ni ndogo kuliko mlima
Maeneo ya malishi
Hii ni sehemu iliyo na majani mengi au mimea inayofaa kwa ajili ya kulishia mifugo au wanyama
Mashamba ya mji
Maeneo ya nchi yaliyo wazi, mara nyingine huwa imepandwa mazao ambayo ni mali au yameuzunguka mji.
Vijiji
hizi ni jamii ndogo, mara nyingi ni ndogo kuliko mji