forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
519 B
Markdown
13 lines
519 B
Markdown
# Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa
|
|
|
|
Kirai "kwa mkono wa" kina maana kwamba Yahweh alimtumia Musa kama chombo ili kuleta agizo lake.
|
|
|
|
# koo za Wakohathi
|
|
|
|
Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.
|
|
|
|
# Upigaji wa kura
|
|
|
|
Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo
|
|
|