Gershoni
Gershoni alikuwa ni mmoja wa wana wa Lawi
Upigaji wa kura
Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo
Merari
Merari alikuwa ni mmoja kati ya wana wa Lawi