forked from WA-Catalog/sw_tn
348 B
348 B
kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa
Sentensi hii yaweza kutumia muundo tendaji. "kulipiza kifo cha mtu"
kumtoa
Neno hili lina maana ya kumweka mtu chini ya mtu mwingine mwenye mamlaka.
amesimama mbele ya kusanyiko
Hiki ni kirai kinachoeleza juu ya kutafuta haki kutoka katika mahakamaya kusanyiko la wananchi wenzake.