forked from WA-Catalog/sw_tn
308 B
308 B
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri
Nchi na miji ambayo kabila la Asheri liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu waliopewa kwa kufuatana na koo zao
waliopewa kwa koo zao
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"