forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
434 B
Markdown
17 lines
434 B
Markdown
# Bega la kaskazini la Bethi Hogla
|
|
|
|
Nchi ambayo ina muundo wa mteremko inazungumzwa kana kwamba ni bega.
|
|
|
|
# Bethi Hogla
|
|
|
|
Hili ni jina la sehemu/mahali
|
|
|
|
# huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini
|
|
|
|
Nchi ambayo kabila la Benyamini iliipokea inazungumzwa kana kwamba ilikuwa ni urithi wa ambao waliupokea kama mali ya kudumu.
|
|
|
|
# walipewa kwa kila ukoo wao
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: "Yoshua aliwapa nchi kwa kila koo"
|
|
|