forked from WA-Catalog/sw_tn
424 B
424 B
Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao
Hii inaweza kuelezwa muundo tendaji. "Kila kabila la Benyamini lilipewa kwa kufuata koo zao."
ati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu
"kati ya nchi ambayo ni mali ya wazawa wa Yuda na nchi iliyo mali ya wana wa Yusufu."
Wazawa wa Yusufu
hii inawarejelea kabila la Efraimu na Manase.
Bethi Aveni
Hili ni jina la mahali/sehemu