sw_tn/jos/18/08.md

224 B

Maelezo ya jumla

Yoshua anaongea na watu Ishirini na moja ambao walitakiwa kwenda kuiangalia nchi.

Juu na chini katika nchi

Maneno "juu na chini" yana maana ya sehemu zote."Pande zote za nchi" au "katika nchi yote"