forked from WA-Catalog/sw_tn
489 B
489 B
Maelezo ya jumla
Yoshua anaendeleza hutoba yake kwa watoto wa Israeli.
hana sehemu
Hakuna sehemu ya nchi
kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao
Yoshua anazungumzia juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo kwa kumtumikia Yahweh, ilikuwa kana kwamba ulikuwa ni urithi.
nusu ya kabila la Manase
"nusu ya kabila la Manase"
wameshapokea urithi wao
Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu