forked from WA-Catalog/sw_tn
814 B
814 B
wazawa wa Yusufu
Inarejelea makabila ya Efraimu na Manase
Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi , na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
Watu wa makabila ya Efraimu na Manase waliuliza swali hili ili kutia mkazo kwamba Yoshua alitakiwa kuwapa sehemu kubwa ya nchi. "Ulitakiwa ungekuwa umetupa sisi sehemu zaidi ya kila mtu...Yahweh ametubariki."
mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi
Virai hivi viwili kwa msingi vina maana moja. Katika kirai cha pili kinahusu juu nchi inayozungumziwa kama urithi ambao watu waliupokea kama mali kudumu.
sehemu
Kipande
watu wengi
Watu wengi kwa namba
"Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu
Kwa kuwa ninyi ni watu wengi sana katika hesabu yao.
Refaimu
Hili ni jina kikundi cha watu