forked from WA-Catalog/sw_tn
420 B
420 B
Zelofehadi...Heferi...Eliazari
Haya ni majina ya wanaume
Mahila, Noa, Hogila, Milka, na Tirsa
Haya ni majina ya wanawake.
atupatie urithi wetu
Nchi inaongelewa hapa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu walilpewa kama mali ya kudumu. "kutupa sisi sehemu ya nchi kama urithi"
aliwapa wanawake hao urithi
Maana zinazokubalika a)"Yoshua aliwapa wale wanawake urithi" b) Eliazeri aliwapa wanawake urithi.