Mpaka wao
"Mpaka wa nchi iliyo mali ya kabila la Yuda"
Akirabimu...sini....Hebroni... Addari...Karka...Azimoni
Haya ni majina ya sehemu/mahali
kijito cha Misri
huu ni mto mdogo wa maji katika ukingo wa upande wa kusini magharibi mwa nchi, karibu na Misri.