Bethi Haramu...Bethi Nimra....Zafoni....Heshiboni
Haya ni majina ya mahali/sehemu
Huu ni urithi wa kabila la Gadi
Nchi ambayo Musa aliwagawia kabila la Gadi inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao kabila la Gadi walipokea kama mali ya kudumu.