sw_tn/jos/11/23.md

371 B

Yoshua aliwapa Israeli kama urithi

Kitendo cha Yoshua kuwapa waisraeli nchi kunasemwa kana kwamba alikuwa amewapa Israeli urithi kama mali ya kudumu.

nchi ikapumzika bila vita

Watu walikuwa wahapigani vita tena, nchi inasemwa kana kwamba alikuwa ni mtu aliyepumzika kutoka katika vita. "Watu hawakupigana vita tena katika nchi" au "kulikuwa na amani katika nchi"