forked from WA-Catalog/sw_tn
387 B
387 B
kwa ajili yao wenyewe
Kirai hiki kinarejelea juu ya jeshi la Israeli.
Waliua kila mtu kwa upanga hadi pale walipokufa wote. Hakuna kiumbe hai kilichoachwa hai
Virai hivi viweili vina maana sawa na vinatilia mkazo juu ya uharibifu halisi
Yoshua hakuacha kufanya hata jambo moja
Kauli hii ya kukanusha inatilia mkazo kwamba Yoshua alifanya kili kitu ambacho Yahweh alimwagiza.