forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
395 B
Markdown
13 lines
395 B
Markdown
# Sentensi kiunganishi
|
|
|
|
Mungu aendelea kuongea na Yoshua juu ya kile watu walichopaswa kufanya
|
|
|
|
# watapuliza pembe za kondoo waume kwa nguvu kuu,
|
|
|
|
Kiwakilishi 'wa' kinarejelea makuhani saba. "Pembe za kondoo" na "tarumbeta" ni tarumbeta za pembe za kondoo dume ambazo makuhani walikuwa wakizipuliza katika 6:3
|
|
|
|
# ukuta wa mji
|
|
|
|
"Huu ulikuwa ni ukuta wa nje wa mji" au "ukuta uliouzingira mji."
|
|
|