Maelezo ya jumla
Wapelelezi wa Israeli wanaendelea kuongea na Rahabu.
kama hautalifanya hili
jambo hili linaelezea juu ya sharti la ahadi ambalo wapelelezi walikuwa wamelifanya kwa Rahabu. Neno 'hili' linarejelea juu ya kufunga kamba katika dirisha katika 2:18