forked from WA-Catalog/sw_tn
336 B
336 B
Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
waweza kumtumaini...uwanda wako wa kupuria
Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuwatawala nyati.
kumtumaini
Kiambishi 'm' kinamrejelea 'nyati"
kumwachia kazi yako ili aifanye
"umwachie yeye aifanye kazi yako ngumu kwa ajili yako"