forked from WA-Catalog/sw_tn
721 B
721 B
Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.
Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
Yahweh anatumia maswa haya kukazia kwamba Ayubu hafahau jinsi Yahweh anavyoitengeneza mvua, umande, barafu, na theluji
Je kuna baba wa mvua?
Yahweh anaiongelea mvua kana kwamba alikuwa ni mtu.
aliyeyafanya
kazi ya baba katika kumfanya mtoto azaliwe
matone ya umande
matone ya umande ambayo huunda mtonesho katika mmea na katika vitu vingine
Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe
"ambaye ameizaa theluji nyeupe"
Maji hujificha menyewe
katika kipindi cha masika barafu huficha maji chini yake.
vilindi
Hii hurejelea maji ya kina kirefu kama vile maziwa, mito, na bahari