|
# wamefungwa minyororo
|
|
|
|
Hapa kiambishi 'wa' kinawarejelea watu kwa ujumla. "mtu mmoja aliwafunga kwa minyororo''
|
|
|
|
# kunaswa katika kamba za mateso
|
|
|
|
Elihu anaongelea juu ya mateso kana kwamba yanaweza kuwanasa watu kwa kamba. "kama mtu atawafanya wateseke"
|
|
|