forked from WA-Catalog/sw_tn
474 B
474 B
Maelezo ya jumla
Elihu anaendelea kuzungumza
sasa
Elihu anatumia neno hili ili kuleta usikivu wa kitu fulani muhimu ambacho alikuwa karibu kukisema.
sikilizeni sauti ya maneno yangu
Hii ina ina maana ile ile na ya sehemu iliyotangulia ya sentensi. "sikiliza kile ninachosema"
Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
"Yeye anayechukia haki hawezi kutegemea kuwa kiongozi juu