forked from WA-Catalog/sw_tn
576 B
576 B
Maelezo ya jumla
Elihu anaendelea kuzungumza
usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote
Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatia mkazo kwamba Ayubu lazima asikilize kwa makini.
nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu
Kauli hizi zinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatiza mkazo kwamba sasa ana utayari wa kuzungumza.
Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu
"Nitazungumza kwa ukamilifu wa uadilifu"
yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
"Nitakwambia kwa uaminifu mambo ninayoyajua"