forked from WA-Catalog/sw_tn
314 B
314 B
Moyo wangu umetaabika na wala haupumziki
Ayubu anaongelea moyo wake kama ni mtu
Ninarandaranda na ngozi yenye giza lakini si kusababu ya jua
"Daima nipo katika hudhuni na giza"
ndugu wa mbwa mwitu, mshirika wa mbuni
Ayubu anafananisha mateso yake na kuomba kwake msaada kama kilio cha mbweha na mbuni.