forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
427 B
Markdown
13 lines
427 B
Markdown
# Hii ndiyo hatima ya mtu mwovu kwa Mungu
|
|
|
|
Hatima ya mtu mwovu kwa Mungu inahusiana na mpango wa Mungu kwa mtu huyo. KTN: " huu ndio mpango wa Mungu kwa mtu mwovu"
|
|
|
|
# urithi wa mnyonyaji ambao hupokea kutoka kwa Mwenyezi
|
|
|
|
"urithi wa mnyonyaji" ni stiari kuonyesha kitu gani kitatokea kwa mnyonyaji. Mambo atakayopokea toka kwa Mungu yanaongelewa kama ndiyo urithi wake.
|
|
|
|
# ni kwa ajili ya upanga
|
|
|
|
"watakufa katika mapigano"
|
|
|