forked from WA-Catalog/sw_tn
530 B
530 B
nitawafundisha
"nitawa.." ni neno katika wingi kumaanisha marafiki watatu wa Ayubu.
mkono wa Mungu
Mkono wa Mungu unawakilisha nguvu zake. KTN: "Nguvu za Mungu"
Sitayaficha mawazo ya Mwenyezi
"mawazo" ni jina dhahani ambapo laweza dhahiri pamoja na kitenzi "fikiri".KTN: "Sitawaficha yale ambayo Mwenyezi hufikiri"
basi mbona mmeongoa upuuzi huu wote?
Ayubu anatumia swali hili kuwakemea arafiki zke kwa kuongea vitu vya kipumbavu. KTN: "walakini mmeongea upuu huu wote" au " Haikuwapasa kuongea kwa upumbavu"