Nguzo za mbingu hutetemeka na kustaajabu kwa kukemea kwake
Ayubu anaongelea watu kama nguzo ambazo hutetemeka kwa hofu wakati Mungu anapokasirika.
alimvunjavunja Rahabu
alimharibu Rahabu
Rahabu
Hili ni jina la kiumbe cha kutisha kilichoishi katika bahari.