forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
718 B
Markdown
29 lines
718 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# Tumbo
|
|
|
|
hii inarejea kwa mama. KTN: "mama"
|
|
|
|
# minyoo itamla na kuona utamu
|
|
|
|
hii inamaana kuwa atakufa na minyoo itaula mwili wake. KTN: minyoo itafurahia kula mzoga wake" au "atakufa na mwili wake utaliwa na minyoo"
|
|
|
|
# hatakumbukwa tena
|
|
|
|
" hakuna mtu atakayemkumbuka tena"
|
|
|
|
# utavunjwa kama mti
|
|
|
|
" Mungu atawaharibu waovu kama mti"
|
|
|
|
# mwovu huteketeza
|
|
|
|
sitiari hii inasisitiza jinsi mtu mwovu asivyofaa. KTN: "Kama mnyama mwitu anavyoua mawindo yake, ndivyo mtu mwovu huleta maumivu"
|
|
|
|
# wanawake tasa ambao hawakuzaa watoto
|
|
|
|
watu wa wakati ule waliamini kuwa mtu ambaye hakuzaa watoto alikuwa amelaaniwa na Mungu. Hii inawakilisha wanawake wenye bahati mbaya kabisa.
|
|
|