forked from WA-Catalog/sw_tn
720 B
720 B
Sentensi Unganishi
Ayubu anaendelea kuongea
alama za mipaka
haya ni mawe au vitu vingine kunyesha mpaka kati ya maeneo yanayomilikiwa na watu mbalimbali.
malisho
"konde la majani" au "viwanja vya kuchungia"
hutwaa
"wanaiba"
ambao hawana baba
"yatima" au "watoto ambao wazazi wao wamefariki"
huchua ng'ombe wa mjane kama rehani
"huchukua ng'ombe wa mjane ili kuwa hakikisho kwamba wajane watalipa pesa walizowakopesha
mjane
mwanamke ambaye amefiwa na mume wake.
dhamana
mwazimishaji alichukua kitu chochote kutoka mwazimaji ili kuhakikisha kuwa mwazimaji huyo atalipa.
nje ya njia yao
toka kwenye njia
watu masikini nchi waote hujificha
watu wengi masikini huwaogopa watu waovu.