forked from WA-Catalog/sw_tn
477 B
477 B
Sentensi unganishi
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
siku zao
"muda wao wa kuishi"
Hushuka taratibu kwenda kuzimu
KT: "hufa kwa amani"
njia zako
inamaanisha jinsi Mungu anavotaka watu waenende.
Mwenyezi ni kitu gani, hata itupase kumwabudu? Ni faida gani tungepata kama tungemwomba?
watu waovu hutumia maswali haya katika kumdhihaki Mungu. KT: Hatuamini kwamba huyu Mungu Mwenyezi anastahili tumwabudu. Hawezi kufanya chochote kwa ajili yetu"