forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
910 B
Markdown
41 lines
910 B
Markdown
# nchi ya Usi
|
|
|
|
Inawezekana maeneo haya ni 1) eneo katika Edomu mashariki ya mto Yordani mahali fulani magharibi ya Yordani ya sasa au 2) eneo mashariki ya mto Frati katika Irani ya sasa.
|
|
|
|
# haki na mkamilifu
|
|
|
|
Neno "haki" na "mkamilifu" yana maana sawa na yanaeleza kwamba Ayubu alikuwa muadilifu. "Alitenda yaliyo mema mbele za Mungu."
|
|
|
|
# mmoja aliyemcha Mungu
|
|
|
|
"mmoja aliyemheshimu Mungu"
|
|
|
|
# kuepukana na uovu
|
|
|
|
Hapa uovu unazungumziwa kama vile eneo ambalo mtu ataepuka kwenda huko, badala ya kufanya matendo maovu. "alikataa kufanya uovu"
|
|
|
|
# watoto saba wakiume na mabinti watatu
|
|
|
|
"wakiume 7 na mabinti 3"
|
|
|
|
# Alimiliki kondoo elfu saba
|
|
|
|
"Alikuwa na kondoo 7,000"
|
|
|
|
# ngamia elfu tatu
|
|
|
|
"ngamia 3,000"
|
|
|
|
# jozi mia tano za maksai
|
|
|
|
"jozi 500 za maksai"
|
|
|
|
# mkuu
|
|
|
|
"tajiri"
|
|
|
|
# watu wote wa Mashariki
|
|
|
|
Inahusu maeneo yaliyokuwa mashariki ya Kanaani. "watu wote wanaoishi katika nchi zilizokuwa mashariki ya Kanaani"
|
|
|