sw_tn/jhn/17/01.md

252 B

Baba ...mtukuze mwanao ili na mwana naye akutukuze wewe

Yesu anamwomba baba yake, Mungu Baba amtukuze, mwana wa Mungu

Baba...Mwana

Hivi ni vyeo vya mhimu amabavyo huelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu

Mbingu

Hii inamaanisha sehemu ya juu