forked from WA-Catalog/sw_tn
450 B
450 B
Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi
Mzabibu unamwakilisha Yesu. Matawi yanawakilisha wale wote wanaomwamini Yesu.
Yeye akaaye ndani yangu nami ndani yake
Yesu anajaribu kueleza kuwa wanafunzi wake wameunganisha na yeye kama yeye alivyounganishwa nao
huzaa sana
Hii inamwelezea muumini anayempendeza Mungu kwamba kama vile tawi lizaalo sana.
ombeni lolote mtakalo
Yesu anawaambia waumini kwamba ni lazima wamuombe Mungu ajibu maombi yao.