sw_tn/jhn/13/12.md

199 B

Je mwajua nimefanya nini kwenu?

Yesu anajaribu kusisitiza mafundisho yake kwa wanafunzi wake

Ninyi mnaniita mimi 'mwallimu' na 'Bwana'

Yesu anamaanisha kuwa wanafunzi wake wanamheshimu sana.