forked from WA-Catalog/sw_tn
403 B
403 B
aliomba Yesu aje
"alitaka Yesu aje kwake"
upendo
Hapa "upendo" inamaanisha upendo wa ndugu, wa asili, upendo wa kibinadamu kati ya marafiki na ndugu.
Kifo
Hii inamaanisa kifo cha kimwili
badala yake kwa utukufu wa Mungu ili kwamba Mwana wa Mungu apate kutukuzwa katika hilo
Yesu kama Mwana wa Mungu, amepokea utukufu ule ule kama wa Mungu
Mwana wa Mungu
Hili ni jina muhimu kwa Yesu