forked from WA-Catalog/sw_tn
499 B
499 B
Mimi ni mchungaji mwema
Mini nafanana na mchungaji mwema
Baba ananijua mimi, nami namjua Baba
Mungu Mwana na Mungu Baba (na Mungu Roho Mtakatifu) wanafahamiana na wote ni nafsi ya Mungu.
Baba
Hiki ni cheo maalumu cha Mungu
Zizi
Kundi la kondoo linalomilikiwa na mchungaji. Neno hili linatokana na neno "Zizi" mahali ambapo kondoo hukaa.
Nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo
Hii ni njia ya upole ya Yesu kusema kwamba atakufa ilikuwalinda kondoo. "Ninakufa kwa ajili ya kondoo."